Istiqaama Mwanza wamefanikiwa kufanya Majlis ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu pamoja na kuadhimisha Hijra ya Mtume wetu Muhammad (S.A.W), kwa mujibu wa Sheikh Nuuh majlis hiyo ilifanyika leo Tarehe 4 Novemba 2013 katika Msikiti wa Ibaadh Mwanza na kuhudhuriwa na vijana na wazee mbalimbali kutoka madhehebu mbalimbali katika Jiji la Mwanza
No comments:
Post a Comment