Monday, November 4, 2013

ISTIQAAMA MWANZA WAFANYA MAJLIS YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA KIISLAMU

Istiqaama Mwanza wamefanikiwa kufanya Majlis ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu pamoja na kuadhimisha Hijra ya Mtume wetu Muhammad (S.A.W), kwa mujibu wa Sheikh Nuuh majlis hiyo ilifanyika leo Tarehe 4 Novemba 2013 katika Msikiti wa Ibaadh Mwanza na kuhudhuriwa na vijana na wazee mbalimbali kutoka madhehebu mbalimbali katika Jiji la Mwanza

No comments:

Post a Comment